Like Us On Facebook

GRACE MBOWE, MUMEWE, MTOTO WAO WADAIWA KUFARIKI KATIKA AJALI TANGA

     Grace Aikaeli Mbowe (kushoto) wakati akijiunga na CCM akitokea Chadema.
DADA wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Grace Aikaeli Mbowe, aliyejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) akitokea CHADEMA, hivi karibuni anadaiwa kufariki dunia katika ajali ya gari. Grace, mumewe na mtoto wao wanadaiwa kufariki katika ajali iliyotokea leo asubuhi eneo la  Kabuku, Segera mkoani Tanga. Gari wanalodaiwa kupata nalo ajali ni Toyota GX 100 na baada ya kadi ya gari hilo kuchunguzwa ilibainika kuwa na  jina la Grace Aikaeli Mbowe ambaye ni mmiliki.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari