Like Us On Facebook

HUYU NDIYE MCHUNGAJI ALIEWADANGANYA WAUMINI WAKE KUWA UUME WAKEE UNATOA MAZIWA YENYE BARAKA NA KUNYONYWA UUME WAKE..

Valdeci Sobrino Picanto ni mchungaji wa Brazil ambaye mwaka huu alikamatwa kutokana na kuwadanganya waumini wake kuwa uume wake una maziwa ya baraka na hivyo kuwataka waunyonye kupata baraka hizo.
Mchungaji huyo aliwadanganya waumini wake kuwa roho mtakatifu alikuwa anaingia kwenye uume wake na kutoka kwa njia ya maziwa yenye upako.
Kwa mujibu wa mmoja wa waumini wa kanisa lake, mchungaji huyo alikuwa akiwahuburia kuwa Mungu angeingia kwa watu kupitia midomo yao.
“Alikuwa akitupeleka nyuma ya kanisa na kutuambia tumnyonye mpaka pale Roho Mtakatifu atakapotoka kwa njia ya ‘ejaculation’ (kufika kileleni).
Mchungaji huyo ambaye yupo jela alidai kuwa na mpango wa kuwapa maziwa hayo ya baraka


TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari