Kigauni hicho ambacho juzikati alionekana nacho mitaa ya Sinza jijini Dar kisha baadaye kukitupia mtandaoni, kimewafanya wengi wahoji anakoelekea msanii huyo anayedai amebadilika.
 “Hivi huyu ndiye anayesema amebadilika kweli kwa mavazi haya, mbona 
anataka kuwapa wakati mgumu wanaume? Ndo ili iweje sasa, ama kweli 
jasiri haachi asili,” alisema mdau mmoja baada ya kuiona picha hiyo.
“Hivi huyu ndiye anayesema amebadilika kweli kwa mavazi haya, mbona 
anataka kuwapa wakati mgumu wanaume? Ndo ili iweje sasa, ama kweli 
jasiri haachi asili,” alisema mdau mmoja baada ya kuiona picha hiyo.Ijumaa lilifanya jitihada za kumtafuta Lulu ili kujua sababu ya kuvaa mavazi hayo lakini simu yake iliita bila kupokelewa.


 
 
 
 
 
 
