Umeneng'enekaaaa... Mwisho wa yote chali..! Tena umshukuru mungu wasomaji wangu hapaKILELE CHA HABARIni
watu wema maana mmh.. Hicho kilongalonga na vijisenti hapo kwenye pochi
ungevisikia Redioni, Kama we ni mkristo leo jumapili nenda katubu
dhambi hiyo ya kulewa mpaka kupiga chiaz na majani, Na utoe sadaka shost.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.