Like Us On Facebook

KAJALA: KIYOYOZI CHA CHINA KIMENIFANYA NIWE MZURI ZAIDI KWA KUIBADILISHA NGOZI YANGU

MWIGIZAJI Kajala Masanja amekanusha vikali suala la kujipodoa badala yake amesema kiyoyozi cha nchini China kimeifanya ngozi yake ibadilike.
Kajala Masanja.
Akizungumza na paparazi wetu mwishoni mwa wiki iliyopita, Kajala akiwa katika harakati za kuelekea China alisema amekuwa akiipenda nchi hiyo kwani akiwa huko ni ‘full’ kiyoyozi ambacho kimemfanya aonekane mweupe.
“Ngozi yangu inabadilika na kuwa nzuri sana, China kunanipenda. Kiyoyozi mwanzo mwisho lazima uwe mweupe,” alisema mwigizaji huyo.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari