Like Us On Facebook

KWELI RAY KACHEMKA, ANGALIA MAKOSA KWENYE MOVIE MPYA YA RAY ,HII NDIO BONGO MOVIE BWANA!!NOMA SANA




kwenye scene hii anaonekana camera man kwa mbali ukiangalia kwenye viio vya nyumba io ni baada tu ya wazee wao kurudi kutoka Zanzibar 


....





Wakati Ray anaongea na mpenzi wake wa siri wakati mpenzi wake huyo akiogelea huku akimueleza Ray historia yakeya maisha kwa ufupi.....








 Wakati Ray amepigiwa simu na mwanasheria wake kwamba anatakiwa aende ili aelezwe jambo fulani alilolifanya mama yake..... picha ya upande wa kulia inaonesha ray akiongea..... na kwa nje utaona ukuta mrefu na mweupe  lakini shot ya pili yani baada ya sekunde tu inaonesha yupo sehemu nyingine kabisa lakini akiendeleza mazungumzo yale yale.

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari