Like Us On Facebook

HUYU NDO SHABIKI WA SIMBA ALIYEFUTIA MAKALIO YAKE JEZI YA YONDANI

Shabiki mmoja wa Simba alitoa kali ya mwaka baada ya kuchukua kipande cha jezi ya beki Kelvin Yondani na kujifutia makalio.

SHABIKI WA SIMBA AKIJIFUTIA MAKALIO YAKE KIPANDE CHA JEZI YA YONDANI HUKU AKIWAONYESHA MASHABIKI WA YANGA.




Yondani aliyewahi kukipiga Simba kabla ya kutua Yanga, aliwarushia mashabiki hao jezi wakati akitoka uwanjani baada ya kupewa kadi nyekundu.


HAPA MASHABIKI HAO WAKIIGOMBEA JEZI HIYO WALIYORUSHIWA NA YONDANI, BAADAYE WALIICHANA VIPANDE KAMA INAVYOONEKANA.


Nao wakaigombea kwa takribani dakika mbili na kuichana vipande, halafu shabiki huyo akachukua kipande chake na kuanza kujifuta makalio huku akiyaelekeza kwenye upande wa mashabiki wa Yanga.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari