Like Us On Facebook

Video na Picha mbalimbali toka msibani kwa msanii Nyawana Fundikira aliyefariki juzi kwa ugonjwa wa Malaria..

Marehemu Nyawana Fundikira enzi za uhai wake.




Vilio vimetawala ulipo msiba wa Nyawana Fundikira, maeneo yaGongoni, Tabora mjini wakati waombolezaji walipokuwa  wakiusubiri   mwili wa aliyekuwa mwimbaji na mtangazaji wa kipindi cha taarab ‘Ambaa na Mwambao’ kinachorushwa na Passion Fm, Nyawana Fundikira  ulioanza  kusafirishwa  jana  toka  jijini  Dar es  Salaam  kuja  Tabora  kwa  maziko..

Nyawana alifariki juzi baada ya kusumbuliwa kwa muda mfupi na malaria na upungufu wa damu  ambapo ameacha mjane na watoto wawili.


Video ya  baadhi  waomboleza  waliofika  msibani.

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari