Like Us On Facebook

UPDATES....!! DK MVUNGI APELEKWA AFRIKA KUSINI KWA MATIBABU ZAIDI.

 

Dk. Sengondo Mvungi wakati akipelekwa MOI.
  


Mjumbe wa Tume ya Marekebisho ya Katiba, Dk. Sengondo Mvungi leo asubuhi amepelekwa nchini Afrika Kusini kwa matibabu zaidi.

 Dk. Mvungi alijeruhiwa vibaya na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi usiku wa Novemba 2 mwaka huu nyumbani kwake, Kibamba jijini Dar es Salaam na alikuwa akipatiwa matibabu katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika kitengo cha MOI.

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari