Like Us On Facebook

PIGO TENA MAN UNITED 'YARABI', WELBECK NAYE KISU CHAMSUBIRI

KLABU ya Manchester United lazima iamue kumpeleka Danny Welbeck kufanyiwa upasuaji wa goti ambao utamuweka nje mshambuliaji huyo wa England kwa wiki nyingine tano.
United tayari inamkosa kiungo Michael Carrick, ambaye atakuwa nje hadi Krisimasi kwa majeruhi.
Majeruhi: Danny Welbeck atalazimika kufanyiwa upasuaji wa goti ambao utamuweka nje kwa wiki nyingine tano
Blow for United: Michael Carrick is sidelined until Christmas with an achilles injury
Pigo United: Michael Carrick atakuwa nje hadi Krisimasi kwa majeruhi

Matatizo yanayomsumbua Welbeck tayari yamemfanya amekosa mechi sita zilizopita za United. 
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 anapatiwa matibabu yanayompa matumaini anaweza kuepuika upasuaji, lakini United inahofia italazimika kumpeleka kwenye upasuaji ikiwa hali yake haitaimarika.
Welbeck amekwishafanyiwa upasuaji wa goti mara mbili. Marouane Fellaini pia anaweza kuwa nje kwa wiki hadi 10 atakapofayiwa upasuaji wa mguu wake wa kulia.
Stroll: Carrick walked all 18 holes at the DP World Tour Championship in Dubai
Carrick alikwenda kwenye ziara ya mashindano ya dunia ya DP Dubai
Michael Carrick
Michael Carrick
Carrick aliungana na Caroline Wozniacki kumtazama Rory McIlroy akicheza
Crunch time: David Moyes will be without Carrick and possibly Welbeck for games with Spurs and Everton
David Moyes atawakosa Carrick na Welbeck katika mechi na Spurs na Everton
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari