Like Us On Facebook

P SQUARE KUWASHA MOTO JUKWAA MOJA NA LADY JAY DEE PAMOJA PROFFESSOR JAY

Tarehe 23 pale Leaders Club patakuwa hapatoshi baada ya EastAfrica TV kutangaza kwamba wakali wawili walioimba joto hasira watapiga show pamoja na P Square. Kupitia ukurasa wa facebook wa EATV walisema “HABARI MPASUKO: Lady Jay D, Prof J kupafomu na P-SQUARE

Yaani zile JOTO HASIRA zikikutana na ALINGO lazima PERSONALLY utasema CHOP MY MONEY hadi YAHAYA apatikane maana tupo KAMILI GADO!!!
Wale wakali wa muziki hapa Bongo toka enzi hizo, mwanadada Lady Jay Dee (ANACONDA) na Professor Jay watapafomu jukwaa moja na P- SQUARE siku ya Novemba 23 pale Leaders Club. Endelea kusikiliza East Africa Radio kwa habari zaidi pia kumbuka Zimebaki siku 2 tu za kununua tiketi yako kwa M-PESA kwa elfu 30!!”
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari