Like Us On Facebook

MPENZI WANGU AMETEMBEA NA BABA YANGU MZAZI...!! USHAURI JAMANI NIFANYEJE...??

Habari yako Admin... Naitwa Peter, nina miaka 23.Nilikuwa na mpenzi wangu mwenye miaka 18 na tumekuwa katika mahusiano yetu kwa muda wa miaka miwili sasa..Mpenzi wangu aliniambia kuwa yeye bado ni bikra na tukakubaliana hatufanyi mapenzi mpaka tuje tuone.
Wote tulikuwa wanafunzi na kukasema tujitahidi katika masomo yetu ili baadae tuje kuwa na familia nzuri, alikuwa anakuja nyumbani muda wowote anaotaka..
Pale nyumbani nakaa mimi na Baba pamoja na wadogo zangu wawili, hivi majuzi nilimpeleka mdogo wangu mdogo kwa shangazi yangu..wakati narudi sikuwa taarifu nyumbani na nilipoingia ndani nikamkuta Mpenzi wangu yupo kitandani na Baba yangu mzazi,,,Nilishtuka sana na hapa nilipo nimechanganikiwa kabisa sijui nifanyaje
USHAURI JAMANI WADAU, NIPO MATATANI SASA...

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari