Bibi
Salima ambaye amenusurika kuuawa baada ya kuanza kupigwa na baadhi ya
watu waliokuwa wakimtuhumu kujihusisha na vitendo vya ushirikina ambapo
mchungaji Elias Mbagata aliamua kusalimisha maisha ya bibi huyo kwa
kumhifadhi ofisini kwake.
Baadhi ya wakazi wa Kata ya Tambukareli ambao walikusanyika Kanisa la Injili Afrika kumshuhudia Kikongwe huyo anayetuhumiwa kwa Uchawi,Bimkubwa huyo alinusurika kuuawa baada ya kushambuliwa na baadhi ya watu hao na hatimaye kupelekwa kanisani kwa ajili ya usalama wake.
Baadhi ya wakazi wa Kata ya Tambukareli ambao walikusanyika Kanisa la Injili Afrika kumshuhudia Kikongwe huyo anayetuhumiwa kwa Uchawi,Bimkubwa huyo alinusurika kuuawa baada ya kushambuliwa na baadhi ya watu hao na hatimaye kupelekwa kanisani kwa ajili ya usalama wake.