Like Us On Facebook

JOHARI APATA BUZI LA KISUNGU KUTOKA KANADA,UWOYA AMPA MANENO MAZITO,SOMA MWENYEWE

 
Mwanadada Irene Uwoya amefunguka na kuandika ya moyoni kuhusu Johari ambaye amemwita "rafiki yake kipenzi'. Kupitia Instgram yake Irene aka #ireneuwoyaonepieceintownameandika maneno yafuatayo " Yan wewe ni rafiki yangu kipenzi...bahati haiji mara mbili...sasa ukifika Canada usinisahau...maisha ndo hayo...wazungu hawataki uswahili tuliaaa." na kuambatanisha na picha ya rafiki yake kipenzi Johari kama inavyo onekana hapo chini. 
Hi ndo habari ya mujini na tunamtakia Johari aka#mukeyamzungutobe kila la kheri. 

Hayo ndo maneno ya Johari

Zifuatazo ni baadhi ya comments za wadau baada ya kupokea habari hii





 




TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari