Like Us On Facebook

HABARI PICHA...!HUYU NDO DEMU MPYA WA D’Banj, HAPO KABLA aliwahi kuwa na Sean Kingston pia...!

Naona siku hizi habari nyingi ambazo mastaa hutaka ziwe siri, zinavuja kirahisi pale wanapokwenda kujirusha sehemu sehemu au wakati mwingine ushahidi watu wanautengenezea kutoka kwenye mitandao ya kijamii kama huu wa Instagram ambao ni maalum kwa kupost picha mbalimbali.
Baada ya utangulizi huo basi, naomba kukupa moja ya taarifa kubwa kwenye mitandao ya Nigeria kwamba mwimbaji D’Banj ameripotiwa kwamba yuko mapenzini na mrembo Yaris Sanchez raia wa Dominican Republic, nchi yenye watu zaidi ya milioni 10 kwa mujibu wa takwimu za WB 2012. 
Unaambiwa Mnigeria D’Banj na Yaris walichukua ndege private mpaka sehemu inaitwa Asaba huko Nigeria kwa ajili ya kwenda kula bata ambapo mrembo huyo aliamua kupost pichaz akiwa kwenye hizo bata za Nigeria.
Mpaka sasa, mrembo huyu ambae ni mama wa mtoto mmoja ameshatajwa kwenye headlines za kuwa mapenzini na mastaa wa dunia kama Fabolous, Sean Kingston, Lloyd Banks, Joe Budden na Bobby Valentino.
Hizi picha mbili za juu ni wakati Yaris alipokua Nigeria.
Yaris na rapper Joe Budden wakati wa mapenzi yao..
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari