Like Us On Facebook

VIDEO YA MASHUDA WAKIELEZEA KILICHOTOKEA JUU YA MWANDISHI WA ITV KUPIGWA RISASI NA MAMA YAKE KUUWAWA BAADA YA KUPIGWA RISASI NA MPENZI WAKE

              Mwandishi wa ITV/Radio ONe Ufoo Saro akiingizwa Kitengo cha dharura katika Hospitali ya Taifa Muhimbili

Mwandishi wa kituo cha Itv /Radio One Ufoo Saro amepigwa risasi nyumbani kwao eneo la Kibamba jijini Dar es salaam na kukimbizwa kwa matibabu ya haraka katika hospitali ya taifa ya Muhimbili,ambapo katika tukio hilo mama yake mzazi na ufoo saro ameuawa kwa kupigwa risasi huku mhusika aliyefanya tukio hilo naye amejiua kwa kujipiga risasi kichwani.
CHEKI VIDEO HAPA CHINI..

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari