Like Us On Facebook

VIDEO: SHABIKI MAARUFU WA TIMU YA YANGA AITWAYE STEVEN AKIHOJIWA BAADA YA MECHI YA SIMBA NA YANGA KUISHA.



Baada ya kukosakosa kujinyonga kutokana na kuweka ahadi yake kwenye gazeti la Mwanasport kwamba kama Yanga ikifungwa anajinyonga, shabiki maarufu wa Yanga bwana Steve alikutana na AyoTV mara baada ya mechi. Steve anasema pia anampenda sana Wema Sepetu na kama wangeshinda mechi hii alimuandalia Wema Sepetu jezi ya Yanga ambayo imeandikwa jina la Wema Sepetu na kukamilisha furaha yake angempa siku hiyohiyo. Mambo mengine kama unavyomjua Steve, enjoy mahojian
o yake na AyoTV.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari