Katika
tafiti zetu za hapa na pale tumegundua kuwa kuna watu wa ajabu sana
katika Dunia tunayoishi.... Hivyo tunakuletea video kwa ufupi
iliyokusanya matukio tofautitofauti kutoka kwa watu tofauti duniani
walioishangaza Dunia kutokana na Vipaji vyao ama uwezo Binafsi walipewa
na Mungu.Hivyo katika hili Basi watu hawa wamengizwa katika Kumbukumbu za dunia hii kama ukumbusho.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.