** *Mtangazaji wa Kipindi cha Mkasi kinachorushwa hewani
kupitia kituo cha EATV Salama Jabir, wa pili kutoka
kushoto akidauiwa kutukana kwa kutumia ishara ya kidole wakati
walipokuwa kwenye moja ya haraka za kurekodi matukio ya kipindi cha EPIQ
BSS 2013, kinachorushwa hewani kupitia kituo cha TBC1, Salama alifanya
kituko hicho akiwa mezani na Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya
Bongo Profesa Jay wa kwanza kutoka kushoto,mratibu wa Shindano la Bongo
Star Search Madame Lita katikati na Master Jay.*
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.