Like Us On Facebook

PICHA: DIAMOND PLATNUMZ AKESHA STUDIO AKIANDAA NYIMBO MPYA.


                          Saa 6 usiku!Somewhere in Dar es salaam with ma producer 
Tudd thomass nikukuandalia mambo mazuri mapya

Idea zipo nyingi kweli sijui nitumie ipi!!!!

Idea iko poa,tatizo mistari haipangiki kabisaa!!!

Huu mstali sijui uanze mwanzo??

.............au chorus asimamie mwangu Chegge...???

Kisula nae!!na hapa alinipiga???

Ahsante Mungu,mistari yote imesimama penyewe...ila chorus sasa

Ha ha ha hivi Chegge stayle yangu na yako vinaendana kweli!!??

Tudd vipi tena!!nishamaliza ananirudisha nyumaa..ha ha ha!!!!!

Saa 10 alfajiri!!Baby ananipigia akihofia usalama wangu
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari