Like Us On Facebook

NUSU UTUPU YA LINAH YACHANGANYA MIDUME



Linah akiwa jukwaani wakati wa shoo ya Fiesta 2013 jijini Dar.

Mavazi ya nusu utupu ambayo msanii Esterlina Sanga ‘Linah’ hupenda kuyavaa hasa kwenye matamasha yamekuwa yakiwadatisha wanaume na wengine kuomba kupiga naye picha kwa lengo la ‘kujipoza’ kama ilivyotokea kwenye Fiesta, Dar hivi karibuni.

 


 
Linah akipozi na baadhi ya wanaume walioomba kupiga naye picha.
 
Ijumaa limekuwa likimfuatilia Linah na kubaini kuwa kila mara hupenda kuvaa nguo zinazoacha wazi mapaja na kitovu chake na watu ambao amekuwa akipiga nao picha ni wanaume ambao wengi huonekana wakiwa wamemshika kimahaba.



Hata hivyo, licha ya mwenyewe mara kadhaa kueleza kuwa, hayo ni mvazi ya kikazi zaidi, baadhi ya mashabiki wamemponda na kumtaka kubadilika hasa ikifahamika kuwa ni mtoto aliyetokea kwenye familia iliyoshika dini na kwamba kuvaa hivyo ni kujidhalilisha.

GPL
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari