Like Us On Facebook

MFAHAMU JACKLINE WOLPER FEKI ANAEWATAPELI WATU KWENYE MITANDAO YA JAMII


                    kumekuwa na wimbi kubwa la matapeli kwenye mitandao ya kijamii hususan FACEBOOK, TWITTER, BBM na mingine mingi. Jana katika pita pita zangu kwenye mtanfao wa Facebook nilipokea ujumbe ukionesha Jackline Wolper anaomba urafiki nami bila kusita nika confirm obi lake. Leo nilipoingia inbox yangu ya facebook nilikuta ujumbe huu.

Conversation started today


1:26am
Jackline Wolper
Hello, sorry naweza kukusumbua kitu nw?


3:04am
Pablo Junior Calter I
yeah sure.


3:14am
Jackline Wolper
Naomba nisaidie, niko nyumban and sijatoka bado kuna kaz naifanya kwenye computer, kazi ya ofisini. Umeme Umeniishia naomba niazime 20,000 ninunue then baadae nikitoka nakurudishia.

3:17am
Pablo Junior Calter I
ohky haina tatizo sasa hizo pesa nitakupatiaje ama una tigopesa?

3:29am
Jackline Wolper
0712394346, Jina litokee jackline massawe

3:31am
Pablo Junior Calter I
sawa wng so utanirudishia lini

3:36am
Jackline Wolper
Baadae nakutumia, kuna kazi nikiimaliza ndo ntatoka, naomba nitumie bas sasa ivi Pablo

3:52am
Pablo Junior Calter I
poa nakutumia
na hii ni picha ya chat tuliyofanya




chat yangu na jackline wolper feki

Facebook wapo watu wengi sana wenye hii tabia ambayo sio nzuri kwakweli wasanii wetu kila siku wana lalamika kuwa majina yao yanatumiwa vibaya jambo ambalo sio jema guys kwa wewe mwenye huu mchezo nakushauri uache maana iko siku utagundulika tu "ZA MWIZI NI AROBAINI".

fungua hapa kuangalia hio account fake ya Jackline Wolper
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari