Like Us On Facebook

MAAJABU!! MTOTO WA MIAKA MIWILI ABEBA MIMBA....!!

article-2439498-1869504E00000578-235_634x416                Mtoto wa miaka miwili wa Huaxi nchini China, amefanyiwa upasuaji wa kujifungua baada ya madaktari kugundua kuwa alikuwa na mimba.Xiao Feng, alipelekwa hospitali baada ya tumbo lake kuwa kubwa kiasi ambacho alijikuta akishindwa kupumua.Alipolazwa, madaktari walichukua picha za x-rays na MRI ba kugundua kuwa Feng alikuwa amebaba mimba isiyokua na hivyo kuamua kumfanyia upasuaji.article-2439498-1869505900000578-951_634x418Waliiondoa mimba hiyo changa iliyokuwa na upana wa cm 20 na tayari ilikuwa imeanza kuwa vidole. Mimba hiyo ilitakuwa kuwa pacha wa mtoto huyo. Pacha huyo wa sponji angekua na kuwa mtoto wa kiume.
article-2439498-1869A2B000000578-917_634x431Feng akiwa amebebwa na mama yake baada ya upasuajiMapacha wanaofanana hutokea pale yai linapojigawa wakati wa urutubishaji na mapacha walioungana hutokea pale yai linaposhindwa kujigawa
-BONGO 5
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari