Kwa mujibu wa shuhuda wetu, vigogo hao walihudhuria harusi hiyo ya Malumbo Mangula aliyefunga ndoa na msichana ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja.
Mbali na kuzua gumzo, wengine walishangazwa na ulinzi uliokuwepo katika harusi hiyo na kuufananisha na ule wa ikulu.