Like Us On Facebook

CHENI: CLOUD NI KAMA AMEMTUSI MAINDA


Ruth Suka ‘Mainda’.
Mahsein Awadhi ‘Dk. Cheni’, mkali wa sinema za Kibongo amesema kitendo cha mwigizaji Mussa Issa ‘Cloud 112’ kumwambia Ruth Suka ‘Mainda’ kuwa hana mvuto wa kucheza ‘scene’ ya mama wa nyumbani ni sawa na kumtusi kwani siyo sawasawa.
Akipiga stori na paparazi wetu, Dk. Cheni alifafanua kuwa kwa wadhifa alionao Mainda kwenye gemu ni makosa kumwambia hawezi kuigiza nafasi ya umama wakati anaweza sana.
“Cloud ni kama amemtusi Mainda, binafsi siwezi kumuunga mkono, mimi naweza kucheza naye scene ya wanandoa kwa kuwa ni msanii mwenye uwezo mkubwa,” alisema Dk. Cheni.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari