Like Us On Facebook

VIDEO:AKINA MAMA WAKIMLILIA SHEIKH PONDA BAADA YA KUFIKISHWA MAHAKAMANI LEO



Hatimaye mahakama ya hakimu mkazi Mkoa wa Morogoro imeamua kumnyima dhamana katibu wa jumuiya na taasisi ya kiislamu nchini Sheikh Ponda Issa Ponda anayekabiliwa na mashitaka matatu ambayo ni kutokutii amri halali, kuharibu imani za dini na kushawishi na kutenda kosa...

Hii  ni  ripoti  ya  ITV ikiwaonesha  wafuasi  wake  wakiwemo  akina  mama  ambao  walikuwa  wakitokwa  machozi  mahakamani  hapo. 
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari