Like Us On Facebook

MADEE ATUMIA MILIONI 128 KUJENGA NYUMBA YAKE MSIKILIZE ANACHOSEMA NA CHEKI PICHA YA MJENGO WAKE

Msanii kutoka kundi la Tip Top Connection Madee amesema kuwa nyumba yake aliyojenga maeneo ya Mbezi ya Morogogo Road mpaka sasa imemgharimu karibia milioni 125 na bado nyumba hiyo haijakamilika kama anavyotaka yeye.
Madee alisema kuwa alianza kujenga nyumba hiyo kama miaka 4 iliyopita na amesema kuwa ni pesa anazopata kwenye muziki peke yake tangua aanze kama miaka 14 iliyopita. Mungu akipenda amepanga kuhamia siku ya b'day yake mwakani tarehe 23 April.
 MSIKILIZE hapo chini zaidi; 

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari