Like Us On Facebook

VIDEO YA JANUARY MAKAMBA AKIONGELEA NIA YAKE YA KUGOMBEA URAIS MWAKA 2015..!


            Mahojiano haya yalifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kupitia Star TV kwenye kipindi cha Medani za Siasa na Uchumi. Mambo yaliyozungumziwa: 
1. Uendeshaji na mwelekeo wa Bunge, 
2. Vijana na Uongozi, 
3. Suala la Urais 2015,
 4. Mwelekeo wa Chama Cha Mapinduzi, 
5. Rushwa na maadili katika Chaguzi.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari