Like Us On Facebook

TAHADHARI WATUMIAJI WA FACEBOOK!! HACKERS WATUMIA JINA LA WEMA SEPETU KUTAPELI NA KUHACK AKAUNTI ZA WATU FACEBOOK, SOMA HAPA USIJE KUINGIA MKENGE

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEisctybt3yEIhcvKoddXkq50KylsCDK_e3Mp_-RfCrNGRVqh-jM1eabnEwyu83sU80IGIJGWZlwFNMxyA9IDFHNVKLbQkHvtrPSpCl2W10aPcdWhADTVlscrGduhQUOAArWlUvXr5zPD5s/s1600/424552_10200422056941104_839495492_n+(4).jpg 
         UJUMBE MAALUM KWA WANAOTUMIA FACEBOOK NA FANS WETU PIA.
TUMEPOKEA MSG KUTOKA KWA MTU ANAYEJIFANYA NI MSANII NGULI ( Wema Abraham Sepetu ) Akidai Global-Publisher kuna shindano walilo anzisha, na akituomba tu mpe kura zetu ili ashinde shindano la facebook team Page,baada ya kufanya uchunguzi wakina tumegundua ni (Hackers) na KUNA LINK ambayo ukifungua ina kudirect kwenye facebook login na ukisha Log hapo Automatic inakuwa detected Kwa system zao na kuweza kupata taarifa zako zote pia wanatapeli watu njia ya mitandao wakidai kuanzia vyama vya kukopesha watu pesa na kuwalipa kwa njia ya Tigopesa,

JAMANI SIO WEMA SEPETU NA USIJARIBU KUWASADIA LOLOTE

NA Hii ni Account nayotumia Facebook akijifanya Wema Sepetu Bofya uone Wall yake anavyotapeli watu Akijifanya kutoa Mpoko kama Saccos -https://www.facebook.com/wema.sepetu.946

:: SOMA HAPA CHINI NI MOJA YA UJUMBE ALIOTUTUMIA NA LINK::

Wema Abraham Sepetu
Hi, please nakuomba kwa hisani yako na upendo wako support kazi yangu kuna shindano limeandaliwa na Global Publisher katika facebook team page naomba ukaweke Like yako katika picha yangu ili niweze kushinda. Naomba kura yako, unavyoweka Like ndio kura yako kwangu! Bofya hapa www.facebook-team.wapka.mobi
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari