Like Us On Facebook

RAY C NA OMMY DIMPOZ KUNANI ?

               Staa wa Ngoma ya Tupogo,Omary Nyembo,‘Ommy Dimpoz’na nguli wa muziki wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila‘Ray C’wanatarajia kuachia ngoma yao? baada ya kupiga picha pamoja.
Ommy Dimpoz alipost picha hicha hiyo kupitia mtandao wa instagram huku akiandika Studio Flowwww wit the Legendary her self ...Kiuno bila Mfupa...Huku mashabiki wao wakisema kuwa… haya madimpoziii poz na kiuno bila kidari..

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari