Like Us On Facebook

POLISI YAKAMATA SARE ZA JWTZ HUKO KIGAMBONI

                  Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salam limemkamata  Saida Mohamed huko Kigamboni akiwa na sare mbalimbali za jeshi la wananchi .


Kamishna wa kanda hiyo Suleiman Kova amesema katika tukio lingine  jeshi hilo limefanikiwa kuzima jaribio la wizi katika kampuni ya fast jet baada ya kunasa mawasiliano ya mtandao wa majambazi na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo
-ITV
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari