Like Us On Facebook

NANI KAKWAMBIA KWENYE MAISHA HAKUNA MAGEPU?RAY C ATOKA KWENYE UTEJA HADI KUNUNUA MKOKO WA MAANA



                  STAA wa Bongo Fleva Rehema Chalamila‘Ray C’  ameamua kuianika  gari  yake  ambayo anatembelea kwa sasa ...

Gari  hilo  ni aina ya Jaguar ambalo namba zake za usajili hazionekani vizuri ila mwishoni zinasomeka T…CHL,huku akiandika kwenye instragram kuwa… Jaguar don't care...CHL means Chalamila Family..... 

Pongezi  za  kutosha  zikufikie  Ray C  popote  ulipo. Huo  ni  mwanzo  mzuri  baada  ya  mateso  ya  madawa  ya  kulevya  yaliyokufanya  uwe  teja
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari