Like Us On Facebook

MWANAMKE AJIKUTA AKIPOTEZA NYETI ZAKE MARA BAADA YA KUFUMANIWA NA MUME WA MTU HUKO BUKOBA


 Mama huyu akiwa hajielewi kwa kile kilichompata,baada ya Kufumaniwa na mwanaume katika nyumba ya wageni ya super star hamugembe alitoweka na pesa za mwanaume huyo ambae inasemekana ni mkazi wa kigoma.

Alijikuta baada ya umati kuwa mkubwa police walifika eneo la tukio na kumchukua mama huyo,tunafanya jitihada za kumpata msemaji wa jeshi la police,na ikibidi taarifa rasmi ya daktari kuhusu kutokuwa na sehemu zake za siri

Panda mama tukifika huko tutajua zipo au zimetoweka...

Majanga jamani ...mama aliyepoteza sehemu za siri akipelekwa polisi
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari