Like Us On Facebook

MGANGA FEKI (TAPELI) APATA KIPONDO KITAKATIFU

 

kijana aliyetambukwa jina la atupele bedoni  alijikuta akiambulia kipigo ch mwizi baada ya kutapeli vijana wa bodaboda chunya  mchezo mzima ulikuwa hivi  
Kijana Atupele alieleza kuwa yeye ni mganaga wa kienyeji  ila hakuweza kufanya mabo yake alimwambia kijana mmoja ampe simu ili aweze kuzizalisha ila akashindwabbsi ndipo ukawa mwanzo wa kipigo kwake kilisema  chanzo chetu kwamba kijana huyo alifanya mchezo huo kwa takribani wiki mbili

 
Baada ya mwandishi wetu kufika eneo la tukio ndiyo ikawa pona pona ya Atupele Bedoni

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari