Like Us On Facebook

MDADA WA KENYA ANAYEDAIWA KUWA MPENZI WA DIAMOND AJICHORA TATTOO YA DIAMOND.

                Angel
Angel Maggie ambaye ni demu wa Kenya anayedaiwa kuwa mpenzi wa mwanamuziki superstar wa Tanzania Diamond Platinumz amejichora tattoo ya madini ya almasi(Diamond) kuashiria ni kwa jinsi gani anavyompenda mwanamuziki huyo kwa mujibu wa mitandao ya kenya. Pia inadaiwa hivi karibuni wawili
hao walikuwa bega kwa bega Nairobi na Mombasa wakati Diamond alipokuwa na show nchini humo na kwa mujibu wa mitandao ya huko iliripotiwa Angel kupata nafasi ya kulala na Diamond. Angalia tattoo hiyo hapo chini...



tattoo aliyojichora na hapo chini akiwa na Diamond

                                 akiwa na Diamond

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari