Like Us On Facebook

LIVERPOOL YAPIGWA KIDUDE NYUMBANI, SUAREZ AKIMALIZA ADHABU YA MECHI 10,CHELSEA NAYO YAUA 2-0

                BAO pekee la Dejan Lovren limeipa Southampton ushindi wa 1-0 Uwanja wa Anfield dhidi ya wenyeji Liverpool leo.
Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Croatia alifunga bao hilo dakika ya 54 na kumaliza rekodi ya Liverpool kutofungwa ndani ya mechi 12.
Mshambuliaji Luis Suarez, alikuwepo jukwaani akishuhudia mechi yake hiyo ya mwisho katika adhabu ya kufungiwa mechi 10 na sasa anarejea uwanjani.
Pamoja na hayo The Saints, inabidi wamshukuru refa Neil Swarbrick aliyewanyima Liverpool penalti baada ya beki wao kumuangusha Daniel Sturridge kwenye eneo la hari kipindi cha kwanza.
Kikosi cha Liverpool kilikuwa: Mignolet, Toure, Skrtel/Alberto dk72, Agger/Enrique dk56, Sakho, Gerrard, Lucas, Henderson, Aspas/Sterling dk46, Moses na Sturridge.
Southampton: Boruc, Clyne, Lovren/Fonte, Shaw, Wanyama, Schneiderlin, Rodriguez/Cork dk89, Lallana/Ward-Prowse dk75, Osvaldo, Lambert/Davis dk61.
Brilliant win: Dejan Lovren scored the only goal of the game as Southampton ended Liverpool's unbeaten start to the season
Bao la ushindi: Dejan Lovren amfunga bao pekee la ushindi dhidi ya LiverpoolOn target: Saints players cheer as Lovren's header hits the back of the net
Amepatia: Wachezaji wa Liverpool wakiangalia mpira uliopigwa kwa kichwa na Lovren ukitinga nyavuniGreat scenes: Lovren takes the plaudits from the Southampton fans
Babu kubwa: Lovren akishangilia mbele ya mashabiki wa SouthamptonOff target: Daniel Sturridge show his anguish after missing a chance
Amekosa: Daniel Sturridge aisikitika baada ya kupoteza nafasi ya kufunga
Brendan Rogers
Steven Gerrard
Hasira: Brendan Rodgers na Steven Gerrard wakionyesha hasira zao za kufungwaHome debut: Victor Moses made his first appearance at Anfield in red
Kifaa: Victor Moses akiichezea Liverpool kwa mara ya kwanza Uwanja wa AnfieldTussle: Kolo Toure and James Rodriguez battle for possession
Jino kwa jino: Kolo Toure na James Rodriguez wakigombea mpiraStrike: Steven Gerrard hits a free kick
Mkwaju: Steven Gerrard akipiga mpira wa adhabuBattle: Mamadou Sakho and Nathaniel Clyne vie for the ball
Vita: Mamadou Sakho na Nathaniel Clyne wakigombea mpiraWatching on: Luis Suarez watches the action at Anfield
Anatazama: Luis Suarez akiangalia mechi AnfieldChallenge: Adam Lallana rides a tackle from Steven Gerrard
Mchuano: Adam Lallana akipambana na Steven Gerrard
-DARAJANI 
 
KIUNGO John Obi Mikel amefunga bao lake la kwanza katika Ligi Kuu ya England na kuiwezesha Chelsea kuibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Fulham Uwanja wa Stamford Bridge, huo ukiwa ushindi wao wa kwanza mwezi huu.
Mabao ya Oscar na Mikel kipindi cha pili yamemaliza ukame wa ushindi ndani ya mechi nne na kuendeleza rekodi ya Jose Mourinho kutofungwa nyumbani katika Ligi Kuu ndani ya mechi 63 na ushndi wa kwanza tangu wafungwe na Aston Villa.
Ushindi huo wa 2-0 unamaanisha Fulham inatimiza miaka 34 bila kushinda Stamford Bridge, Chelsea ikizinduka baada ya vipigo vya Everton na Basle.
Kikosi cha Chelsea kilikuwa: Cech, Ivanovic, Cahill, Terry, Cole, Ramires, Mikel, Schurrle/Lampard dk79, Oscar, Hazard/De Bruyne dk85, Eto’o/Torres dk64.
Fulham: Stockdale, Riether, Amorebieta, Hangeland, Richardson, Duff/Taarabt dk64, Parker, Sidwell, Kacaniklic/Tue Na Bangna dk72, Kasami/Rodallega dk85 na Bent.
Back to winning ways: Oscar celebrates his goal - Chelsea's first in more than four hours of Premier League football
Ushindi umerudi: Oscar akishangilia bao lake na wenzake
On target: Oscar breaks the deadlock at Stamford Bridge
Oscar amefunga bao la kwanza leo Stamford Bridge
A rarity: John Obi Mikel stretches to score his first goal for 258 matches
Bao tamu sana: John Obi Mikel akifunga bao lake la kwanza Ligi Kuu England baada ya mechi 258
Ecstatic: The midfielder was delighted with his goal
Raha sana: Obi akishangilia bao lake
Back to winning ways: Jose Mourinho celebrated his first win in a month
Raha zimerejea Darajani: Jose Mourinho akishangilia ushindi wake wa kwanza mwezi huu
Slightly better: Roman Abramovich was in the stands again to watch the victory
Mwenye timu tabasamu latosha: Roman Abramovich akiwa jukwaani kuangalia ushindi wa timu yake
Golden: Darren Bent missed a brilliant chance when the game was still 0-0
Amekosa: Darren Bent alipoteza nafasi nzuri ya kufunga wakati timu hizo hazijafungana
In pain: Scott Parker is felled by Gary Cahill
Maumivu: Scott Parker akichezewa rafu na Gary Cahill
Flattened: Steve Sidwell leaves Eden Hazard on the floor after a challenge
Hdi chini: Steve Sidwell akimuacha chini Eden Hazard baada ya kugombea naye mpira
Drawing a blank: Samuel Eto'o again failed to find the mark for his new club
Mabao wapi?: Samuel Eto'o kwa mara nyingine ameshindwa kuifungia timu yake mpya
Up in the air: John Terry directs the ball towards goal from a corner
John Terry akiwania mpira wa juu
Under pressure: Branislav Ivanovic is closed down by Pajtim Kasami
Branislav Ivanovic akipambana na Pajtim Kasami
Battle: Ramires, attempts to tackle Alexander Kacaniklic
Ramires, akipambana na Alexander Kacaniklic
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari