Like Us On Facebook

KIJANA ANASWA NA SHEHENA YA BANGI HUKO BUGURUNI.

                         Polisi wakikagua mahali alipokuwa amejificha mtuhumiwa wa bangi.
   
  Mfuko wa bangi aliokamatwa nao mtuhumiwa.



 
Mtuhumiwa akipelekwa kutuo cha polisi.
 Kijana ambaye hakutambulika jina lake mara moja amenaswa na polisi akiwa na mfuko wa bangi.
Sakata hilo limetokea maeneo ya Buguruni Sokoni jijini Dar es Salaam mara baada ya polisi kumshuku jamaa huyo ambaye alionekana kujificha chini ya matenga ya nyanya mara baada ya kuwaona polisi hao.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari