Like Us On Facebook

IZZO BIZNESS APATA AJALI MBAYA AKIELEKEA AIRPORT MWANZA...

 
Haya ni Maneno ya Izzo
Tumepata Ajali Mbaya Eneo la MSITUNI wakati tunatokea GEITA kwenye Show kuelekea Airport MWANZA...Tunamshukuru Mungu Tupo salama...Pole kwa brother Philbert KABAGO kwa kuumia maeneo ya Pembeni ya Jicho lake...Get well soon bro...Mungu ni Mwema

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari