Like Us On Facebook

DIVA WA CLOUDS FM AMTIBUA TENA ZITTO KABWE.


  
          MTANGAZAJI wa Kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, Loveness  Malinzi ‘Diva’ amesema alichokuwa anahitaji katika sakata lake la kudai ameibiwa ‘idea’ ya Kigoma All Star East Africa Tour na Mhe. Zitto Kabwe ni kupewa heshima yake (appreciation) tu.

Katika maelezo yake, Diva amefunguka kuwa walijadili na Zitto kuhusu idea hiyo lakini badala yake akashangaa mheshimiwa anampotezea katika utekelezaji kitu ambacho anadai siyo haki..
 

“Angalau basi angenitaja kama kunishukuru kwa kutoa mchango wangu katika Kigoma All Star Tour lakini hakufanya hivyo na hata nilipomsisitiza aliniletea siasa,” alisema Diva.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari