Like Us On Facebook

ANGALIA PICHA ZA MKE WA MBUNGE WA CHADEMA SUGU AKIONESHA TATOO KIUNONI

Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu, ameshare picha zinazowaonesha akiwa na mwanae pamoja na mama wa mtoto wake huyo, Faiza Ally, waliamua kupark usafiri wao pembeni ya barabara na kufurahia mandhari ya kuvutia ya Mlima Kitonga, mkoani Iringa. Tazama picha zao.
946294_484823404924724_125451513_n
Faiza na mwanae
Faiza na mwanae
935165_484821214924943_1643712272_n
Sugu na familia yake
Sugu na familia yake 
SOURCE:jambo tz
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari