Like Us On Facebook

DIVA LOVENESS" MTU AKISEMA MIMI RAFIKI AKE ANAJIDANGANYA, MIE HUWA NACHORA TU WATU"

 


Maneno ya Diva aliyoandika haya hapa:

"Just Saying… maana hawa hawa wanaozunguka wenzao na kujifanya wanajali ndio wanafiki na wambea hatari. nashukuru Mungu sinaga rafiki hata wakumpa siri zangu maana …… na kiukweli mtu akisema mie rafiki yake anajidanganya. mie huwa nachora tu watu hata sometimes nikiwa naongea nao, very selective. na Mpaka dakika hii miaka 4 sasa sinaga so called rafiki kibongobongo. no new friends. i ‘m always into My highschool buddies yaani. so know your Options and make the right choice"
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari