Like Us On Facebook

AHUBIRI ZAIDI YA MASAA MATATU PASIPO WAUMINI

 
                                                              Akitwanga  injili.
     Mhubiri wa injili akitoa neno pembeni ni viti kwa ajili ya waumini japo hakuna aliyejitokeza.
                                        Akielezea umuhimu wa kumtukuza bwana.
hivi karibuni Mhubiri injili ambaye hakufahamika jina lake aliyekuwa akiendesha ibada ya maombi na kushusha neno la Mungu, pande za Mabibo Sokoni  katika eneo la wazi zaidi ya masaa matatu pasipo mtu yoyote kujitokeza kumsikiliza. Watu wengi waliokuwa wakipita eneo hilo hawakuweza kumwelewa mtumishi huyo anayetoka Kanisa la Pentekoste Injili Tanzania.
 
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari