
Club ya Shakhtar Donetsk imethibitisha Kifo hicho na kusema amefariki ya Asubuhi 8/2/2014
Maicon ni raia wa Brazil na alijiunga na Shakhtar Donetsk 2008 na ameonekana mara 6 na ameifungia timu hio Goli 1 tu. Hivi karibuni alipelekwa kwa mkopo timu nyingine
Maicon Pereira de Oliviera asifananishwe na Maicon Douglas Sisenando mwenye miaka 32 ambae pia ni raia wa Brazil ambae alikua akikipiga katika club ya Inter Milan amabe sasa anachezea katika club ya Roma.
SOURCE: BLOG YA VIJANA