Like Us On Facebook

PICHA ZA TUKIO ZIMA LA UPASUAJI WA MTANZANIA ALIYEKUFA AKIWA AMEMEZA KETE ZA MADAWA YA KULEVYA ,PICHA NI ZA KUTISHA SANA



Picha inajieleza yenyewe tuungane kuyapiga vita kwa pamoja mimi wewe na yule.




Hivi ndio huwa mambo yanavyokuwa kwa wabebaji wa madawa ya kulevya(maarufu kwa jina la Punda) ni hatari sana kwa afya ya Binadamu, kijana tuungane kwa pamoja kupinga biashara hii haramu na hatari sana tukishirikiana kwa pamoja na Serikali kwa pamoja tunaweza kutokomeza madawa haya haramu na hatari sana kwa jamii yetu.




Hii ni picha ya x ray inayoonesha ndani ya tumbo madawa aliobeba.




Yanavyoweza kuathili baadhi ya sehemu katika mwili.



Operation ikifanyika tayari kuyaondoa madawa hayo yaliompelekea kijana huyu kufariki.



Operation ikiendelea hatari sana ndugu zangu.



Baada ya utumbo kutolewa tayali kuanza kuyatoa madawa hayo.



Kama uonavyo yakiwa ndani ya utumbo mpana.



Yakianza kutolewa pamoja na kushafishwa jinsi unavyoona katika picha.



Baada ya utumbo kuchanwa tayari kwa kutoa keti hizo.



Kabla mtu ajazimeza zinakuwa hivi sasa ebu fikilia mtu anameza kete elfu 5 jamani hii ni hatari .

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari