Like Us On Facebook

"Nitatumia watoto yatima na wasiojiweza kuzindua Video ya 'MY NUMBER ONE REMIX' "....DIAMOND

Kwa mara ya kwanza nchini Tanzania, Naseeb Abdul a.k.a Diamond ameweka wazi kuwa video yake ya ‘My Number One rmx’feat Davido iliyofanyika nchini Nigeria watu wa kwanza kuitazama watakuwa ni watoto yatima na watu wasiojiweza kabla ya mtu watu wengine.
 
Akiongea ndani ya 255 ya XXL- Clouds fm amesema kuwa video hiyo itatazamwa kwanza na watoto yatima na watu wasiojiweza ili kuwapa fursa sawa na watu wengine na sio kila siku kuwasahau na kuwatenga bali kuwa nao karibu kwa kila kitu. 
Hali hii itakuwa ni muendelezo wa Diamond kuweka rekodi mpya kila siku kwenye muziki wa Bongo Fleva. 
Baabkubwa inamtakia mafanikio mema na kuipeleka Bongo Fleva kwenye level nyingi ne kubwa kimataifa zaidi.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari