

Pata Habari Motomoto za Nje na Ndani ya Nchi kila siku


Mwigizaji mkongwe nchini Ulimboka Mwakilasa al-maarufu kama “Senga”
alishindwa amenaswa laivu na kamera ya mdau mmoja akishangaa laivu
mzigo (wowowo) la mwanadada Agness Masogange wakati wakishoot filamu
mpya ya mwanadada Nisha ambayo mwigizaji huyo ameshirikishwa. Tazama
picha.KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari

