Like Us On Facebook

HABARI INAYOZUNGUMZIA AGNESS MASOGANGE KUFANYA VIDEO PAMOJA NA TUNDAMAN

http://distilleryimage2.ak.instagram.com/dd41424c719c11e3862312b5c0403726_7.jpghttp://distilleryimage2.ak.instagram.com/6fe053f4719811e39e200ed7e3db63ea_7.jpghttp://distilleryimage11.ak.instagram.com/2cf9b6de719811e3be8c12db5299872b_7.jpghttp://distilleryimage3.ak.instagram.com/c58d06c2719c11e38a3712f5df62fd43_7.jpghttp://distilleryimage1.ak.instagram.com/a1823888719711e3b3e8129d4b1f5ae5_7.jpg
Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Khalid Ramadhani Tundamani anatarajia kumwonyesha kwa mara ya kwanza 'Video queen' Agnes Gerad maarufu Masogange katika video ya wimbo wake wa Msambinungwa.

Akiongea Tundaman alisema ataondoka nchini Januari 5, 2014 kwenda Nairobi kwa ajili ya utengenezaji wa Video hiyo na kwamba ameamua kufanya video hiyo akiwa na Masogange kwani ni msichana anayefanya vizuri katika video nyingi za wasanii pia ana kipaji cha kazi hiyo.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari