Like Us On Facebook

NOMA SANA: MSANII NYOTA WA BONGO MUVI ALIWA KIBOGA MARA BAADA YA KUFUMANIWA NA MKE WA MTU

  Msanii nyota toka kiwanda cha bongo movie aliyefamika kwa jina la Mud usiku wa kuamkia jana ameiona dunia chungu baada ya kufumaniwa na kisha kuliwa kiboga zaidi ya saa zima bila msaada.
Habari zaidi toka kwa mwandishi wa XDEEJAYZ aliyeko Morogoro zilisema kuwa Mud alifumaniwa maeneo ya Msufini kwenye nyumba moja ya kulala wageni ujulikanayo kwa jina la D JOB akiwa anamla uloda mke wa afisa mmoja wa bank moja maarufu mjini humo.
Habari zaidi ziliendelea kusema kuwa msanii huyo mwenye sifa sana Mkoani humo na  hivi karibuni alitoa filamu yake ijulikanayo kwa jina la GAMBA ambayo ilimpatia pesa nyingi huenda ndizo zilizomtia kiburi cha kutongoza wake za watu “ Huyu msanii bwana ameuza filamu yake hivi karibuni na iko mtaani inafanya vizuri na baada ya hapo alinunua gari na akaifunga mziki mkubwa ambapo mtaa mzima yeye alikuwa anaonekana yeye ndo yeye hali iliyomfanya wanawake kumkimbilia wenyewe” Kilisema chanzo chetu.
Habari zaidi ziliendelea kusema kuwa msanii huyo alianza kumpigia misele mke wa afisa mmoja wa band jina linahifadhiwa na baada ya muda iligundulika msanii kummega dada huyo mrembo hali iliyomfanya mwenye mke kuwapa vijana kazi ya kufatilia hadi wanase tukio hilo ambapo vijana walipewa mpunga wa maana na wakaingia kazini.
Hata hivyo siku ya fumanizi afisa huyo alimuaga mkewe anaenda Dodoma kikazi na angerudi siku inayofuata hali iliyotoa mwanya kwa mkewe na msanii huyo kuandaa sehemu ya kwenda kulana uloda. Baada ya kufika jioni msanii huyo alimfata mke huyo kazini kisha wakaelekea kwenye nyumba hiyo ya kulala wageni na waliingia chumba namba 12 “NYATI” na wakaanza kula bata batani, hata hivyo kumbe vijana hao waliokuwa wanafatiliwa nyuma hadi walipoiingia ndani kisha walimpigia simu mumwe mke huyo ambae hakufahamika jina lake na ambapo dakika chache baadae mume huyo aliingia na mabaunsa walioshiba balaa huku wakionekana kiwa na ghazabu za kufa mtu.
Baada ya kufika viunga vya nyumba hiyo moja kwa moja walienda kugonga kwenye chumba hicho na msanii huyo ndiye aliyefungua mlango kisha kundi hilo la watu likazama ndani huku wengine wakiweza ulinzi, hata kwa bahati mbaya ndani walikta manyoya tu kwa maana mke huyo alikuwa ameshaliwa huku chumba hicho kikitoa harufu ya kinyesi hali iliyoonesha huenda dada huyo alikuwa amefanywa mapenzi kinyume na maumbilie.
Hata hivyo hali hiyo ilimtia hasira mwenye mke ambae hata hivyo mabaunsa hao walimzibiti kwani alikuwa ameshajiandaa kutoa cha moto ambapo badala yake aliwaamuru mabaunsa hao wafanye kazi yao ambapo walianza kumla kiboga kwa kupokezana zaidi ya saa zima huku mwanamke huyo akilazimishiwa kuangalia.
Hali hiyo ilimfanya msanii huyo kuomba asamehewe na kuahidi hatorudia kutembea na wake za watu lakini mabaunsa hao ambao inadaiwa ndiyo kazi yao waliendelea kupata burudani iliyowapelekea pale hadi walipomaliza haja zao kisha wakaondoka huku wakimuacha hoi pamoja  nakuachafua mashuka ya watu kwa kinyesi kufuatia kuharibiwa vibaya. Huku akishindwa kutembea hadi walipompatia msaada wa magongo japo yamfikishe kwenye gari huku mwenye mke akiondoka na mkewe.
Tukio hilo ambalo limevuja sana mkoani Morogoro ambapo picha za tukio hilo zimesambaa mtaani.
credit : xdeejayz
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari