Akiwa Katika Interview ya TV huko
Nigeria Diamond aliulizwa kwanini yeye ndio Msanii anayeuza Nyimbo za
Miito ya Simu Kuliko Wanamuziki Wote East Africa ..Na hivi ndivyo
Alivyojibu... "Sijui Mungu Ndio Anajua Siri iliyoko"
-udaku specially
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.