Like Us On Facebook

PICHA: JACKLINE WOLPER,RAY WATEMBELEA MBUGA ZA WANYAMA ARUSHA..

                 MASTAA kunako tasnia ya filamu Bongo,Jackline Wolper na Vincent Kigosi’Ray’wametembelea mbuga za wanyama Jijini Arusha huku wakiendelea kurekodi filamu yao mpya.
Kupitia account zao za Instragram wamepost picha mbalimbali wakitazama wanyama huku Ray akiandika …Hii Sehemu inaitwa National Parks ipo Arusha. Kuna vivutio vingi sana vya kuifanya Nchi Ye2 Kujitegemea bila Misaada.
…Hapa Kuna Maji ambayo Yanatoka Juu na kuporomoka Chini yani WaterFalls.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII
KAMA UMEGUSWA NA HABARI ZETU, TUNAOMBA UUNGANE NASI KATIKA PAGE YETU YA FACEBOOK HAPO CHINI. BOFYA "LIKE" KAMA BADO HUJA LIKE PAGE YETU.
 

KILELE CHA HABARI Copyright © 2014 -- Template created by Mbatta -- Powered by Kilelechahabari